Loading...

RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI.

Loading...
RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI.
link : RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI.

soma pia


RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI.


Mwambawahabari 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amewataka wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam, kujitokeza kwa wingi siku ya juma tatu tarehe 14/08 mwaka huu kumlaki  Rais wa Misri  Abdul Fatthah Alisisitiza , ambapo anakuja  kwa ziara ya  kikazi siku mbili.

Akizungumza za jijini Dar es Salaam Mhe Makonda amesema, ujio wa Rais huyo utaambata na na Maafisa wengine ambapo  mkoa utafaidika Kiuchumi  kwa kuwa wageni hao  watakuwa na mahitaji mbali mbali ikiwemo chakua na Malazi .

Amesema megeni atawasili kuanzia majira ya saa sita adhuhuli akitokea Misri na talakiwa na Mwenyeji wake Mhe. Rais Dr John Pombe Magufuli uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu, Nyerere na kuelekea Ikulu Magogoni.


Hivyo makala RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI.

yaani makala yote RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/rais-wa-misri-abdul-fatthah-al-sisi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA MISRI ABDUL FATTHAH AL SISI, ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI."

Post a Comment

Loading...