Loading...

WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO

Loading...
WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO
link : WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO

soma pia


WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo John  Lipes Kayombo akizungumza na wadau wa Elimu hawapo pichani

Mwambawahabari
 wanafunzi 11638 wa darasa la saba wanatarajia kuanza kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ambayo itamalizika tarehe 7/9/2017.

Idadi hiyo imejumuisha wanafunzi kutoka  shule za serikali na  binafsi ambapo wasichana ni 5958 na wavulana 5680.


Akizungumza kuhusu maandalizi ya  mtihani huu Mkurugenzi amesema maandalizi yote ya msingi yapo vizuri kabisa na yamekamilika kwa wakati.

Pia alitoa  msisitizo kwa wale wote waliochaguliwa kusimamia mitihani hiyo  kuwa waaminifu na kwa kufuata sheria walizoelekezwa za usimamizi wa mitihani.Asingependa kutokee aina yoyote ya udanganyifu katika shule za Manispaa ya Ubungo.

Aidha amewatakia kila la kheri katika mtihani huu watahiniwa wote katika shule za Manispaa ya Ubungo


Nae afisa elimu ndg.Chausiku Masegenya akitoa wito kwa wazazi amesema ni vyema wazazi wakazingatia kuhakikisha watahiniwa wanawahi shuleni kwa wakati ili kuepuka usumbufu na kuwahi kupata maelekezo kwa wakati.

Aidha alisisitiza kwa wanaosimamia mitihani hiyo kuwahi kwenye vituo vyao kwa wakati ili mambo yaende kama yalivyopangwa.


Mtihani wa kumaliza darasa la saba hufanyika kila mwaka hapa nchini ikiwa ni hatua ya kuingia elimu ya sekondari.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA HABARI NA UHUSIANO HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO


Hivyo makala WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO

yaani makala yote WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/wanafunzi-11638-wanatarajia-kufanya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANAFUNZI 11638 WANATARAJIA KUFANYA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA SABA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO"

Post a Comment

Loading...