Loading...

Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali

Loading...
Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali
link : Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali

soma pia


Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali

Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Ilala ambaye pia Diwani wa Kata ya Vingunguti Omary Kumbilamoto ameeleza sababu zilizopelekea Zahanati ya Vingunguti kufuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali kupitia wakaguzi wake (TRN) na imekuwa miongoni mwa Zahanati tano zilizofuzu.

Akizungumza mara baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Zahanati Ibrahim Aeshi Nduze, Naibu Meya Kumbilamoto ameeleza kuwa hali ya mara ya kwanza katika zahanati hiyo haikuwa shwari lakini kwa jitihada zake na kushirikiana na Halmashauri na Serikali alifanikiwa kufanya mambo mbalimbali katika maboresho ya zahanati hiyo na hatimae imefanikiwa kupewa hadhi ya nyota nne.

Akiyataja mambo waliyoyafanya katika Zahanati hiyo ni pamoja na Ununuzi wa Gari ya Wagonjwa (Ambulance), Mashine ya Kufulia,Jenereta, Choo kwa kinamama wanaojifungua, utanuzi wa maabara, ufungaji wa feni nne, mashne tatu za kupmia uzito kwa watoto,kipimo cha presha na kiti cha kubebea wagonjwa.

Zahanati nyingine zilizoweza kupandishwa hadhi Halmashauri ya Ilala ni pamoja na Zahanati ya Tabata, Mhongo la Ndege, Kinyerezi na Kadlugambwa.

Taarifa kutoka Kamati ya Zahanati imeeleza kuwa mwanzo zahanati yetu ilikua na nyota mbili ambapo hizo zahanati nyingine zilikua na nyota tatu hivyo vingunguti imepanda nyota mbili. Kamati hiyo imewashukuru wananchi kwa mawazo, maoni, na changamoto walizozitoa ambazo zimezifanyiwa kazi na ku pelekea zahanati hiyo kupata nyota mbili za ziada, kamati memshukuru pia Diwani Omary Said Kumbilamoto kwa kuwaongoza, kuwashauri, na kutoa mchango wa hali na mali ii kufikia malengo.


Hivyo makala Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali

yaani makala yote Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/zahanati-ya-vingunguti-yafuzu-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Zahanati ya Vingunguti yafuzu na kupatiwa cheo cha nyota nne na serikali"

Post a Comment

Loading...