Loading...

MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI

Loading...
MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI
link : MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI

soma pia


MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Mgombea Udiwani wa kata ya Saranga Wilaya ya Ubungo katika uchaguzi mdogo kupitia chama cha Mapinduzi(CCM) ,Haroun Mdoe amechukua fomu rasmi katika ofisi ya Mtendaji wa kata hiyo leo.
Mdoe amechukua fomu hiyo leo mchana akiwa amesindikizwa na wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya kata ya Saranga  ambapoiZoezi  hilo la uchukuaji fom lilifanyika katika  ofisi ya afisa mtendaji kata ya saranga  Ndandasi Kijo    ambae ni kaimu Mkurungenzi  wa uchaguzi  katika kata hiyo.
Katika marudio hayo ya uchaguzi vyama mbali mbali  navyo  vimejitokeza kuchuku fomu  hizo ikiwemo   chama cha demokrasia na  maendeleo( chadema),  chama cha wanachi  cuf,  Act wazalendo,  n.k
mara baada ya kuchukua fomu hiyo afisa Mtendaji huyo  Kijo alipiga marufuku  kufanyika kwa kampeni za aina yoyote  kwani  mda wa kampeni bado na hivyo yoyote akibainika  anafanya kampeni shelia kali zitachukuliwa  dhidi ya chama  hicho pamoja na mgombea wake.
 Katibu wa wilaya ya Ubungo, Salum Kali akimkabidhi barua ya uteuzi kwa mgombea Udiwani wa kata ya Saranga kupitia CCM  Mdoe   Katika uchaguzi mdogo unaotaraji kufanyika wilaya ya Ubungo
Mgombea Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mdogo wa Kata ya Saranga, Horoun Mdoe akimkabidhi mtendaji wa kata barua ya uteuzi wake kupitia CCM.
 Mgombea Udiwani Mteule wa Chama Cha Mapinduzi kata ya Saranga  Wilaya ya Ubungo, Haroun Mdoe akisoma kwa umakini barua yake ya uteuzi  kupitia chama chake cha ccm
Baadhi ya viongozi  walio ambatana na mgombea wakati wa kuchukuo fomu wakiwa katika picha ya pamoja
--


Hivyo makala MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI

yaani makala yote MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/mgombea-udiwani-ccm-saranga-haroun-mdoe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MGOMBEA UDIWANI CCM SARANGA HAROUN MDOE ACHUKUA FOMU YA TUME KWA AFISA MTENDAJI"

Post a Comment

Loading...