Loading...

MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE

Loading...
MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE
link : MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE

soma pia


MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE

Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) akipokea taarifa ya Makabidhiano ya ofisi kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Ndg. Jordan Rugimbana Oktoba 30, 2017.
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge (kushoto) na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Ndg. Jordan Rugimbana wakitiliana saini taarifa ya Makabidhiano ya ofisi Oktoba 30, 2017.
Picha ya pamoja kati ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Jordan Rugimbana na Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge mara baada ya kukamilika kwa tukio la Makabidhiano ya ofisi baina yao Oktoba 30, 2017
Picha ya pamoja kati ya Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Ndg. Jordan Rugimbana pamoja na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dodoma mara baada ya kukamilika kwa tukio la Makabidhiano ya ofisi baina ya Ndg. Rugimbana na Dr. Mahenge Oktoba 30, 2017.


Hivyo makala MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE

yaani makala yote MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/mkuu-mpya-wa-mkoa-wa-dodoma-akabidhiwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU MPYA WA MKOA WA DODOMA AKABIDHIWA OFISI NA MTANGULIZI WAKE"

Post a Comment

Loading...