Loading...
title : MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO
link : MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO
MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO
NA YEREMIAS NGERANGERA -NAMTUMBO
Wanachama wa chama cha mapinduzi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wamemchagua Aggrey Mwansasu kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho kwa kumbwaga aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Benjamini Nindi .
Uchaguzi wa kumpata mwenyekiti huyo ulifanyika katika Bwalo la shule ya sekondari Namtumbo shule ambayo inamilikiwa na jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi kilomita tatu kutoka mjini Namtumbo.
Aidha katika uchaguzi huo awali uliingia dosari baada ya msimamamizi wa uchaguzi huo Zena Rashidi Mijinga kujisahau kwa kutosoma kanuni ya kushinda uchaguzi ni sharti mgombea apate asiliomia hamsini ya kura zitakazopigwa.
Dosari ya kanuni hiyo kutosomwa awali ilijionesha baada ya wagombea wa nafasi ya uenyekiti kutofikia asilimia hamsini ya kura zilizopigwa na kuwataka wajumbe wa mkutano huo kurudia kupiga kura kwa nafasi ya uenyekiti hali iliyoibua hasira kutoka kwa wajumbe kwa madai ya kutaka kumbeba mgombea mmojawapo katika uchaguzi huo na kuongeza kuwa kanuni hizo kwa nini hazikusomwa kabla ya uchaguzi na badala yake zisomwe wakati uchaguzi umefanyika.
Hivyo makala MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO
yaani makala yote MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/mwansansu-mwenyekiti-mpya-chama-cha.html
0 Response to "MWANSANSU MWENYEKITI MPYA CHAMA CHA MAPINDUZI -NAMTUMBO"
Post a Comment