Loading...

Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro

Loading...
Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro
link : Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro

soma pia


Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro

 Wasamaria wema akiwemo Mwandishi wa habari na mpiga picha wa Kituo cha ITV , Mkoa wa Morogoro, Hussein Nuha wakitoa msaada wa kusaidia mmoja wa majeruhi ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja ambaye ni dereva wa gari Toyota Noah namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi baada ya gari hiyo kupinduka  eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali ya barabara ya Kilombero- Mikumi  katika ajali hiyo hapakutokea kifo chochote na majeruhi wote takribani 10 walikimbizwa katika Hospitali ya St Kizito   iliyopo Mikumi,  wilayani  Kilosa.
……………………………….
  Mmoja wa majeruhi wa ajali akimsaidia  kumbeba mwezake mama wa makamo  wote majina yao hayakuweza kufahamika mara moja  ambao walipata ajali baada ya gari Toyota Noah yenye namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi  kupinduka eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali barabara ya Kilombero- Mikumi , katika eneo la ajali hiyo hapa kuwa na  kifo chochote na majeruhi takribani 10 walikimbizwa katika Hospitali ya St Kizito  iliyopo Mikumi , wilayani Kilosa.( Picha na John Nditi).
Gari  aina ya Toyota Noah yenye namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi  baada ya kupinduka eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali barabara ya Kilombero- Mikumi

Wasamaria wema akiwemo Mwandishi wa habari na mpiga picha wa Kituo cha ITV , Mkoa wa Morogoro, Hussein Nuha wakitoa msaada. Picha na John Nditi


Hivyo makala Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro

yaani makala yote Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/ajali-ya-gari-aina-ya-toyota-noah.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ajali ya gari aina ya Toyota Noah Kilombero- Mikumi mkoani Morogoro"

Post a Comment

Loading...