Loading...

KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR

Loading...
KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR
link : KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR

soma pia


KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR

 Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride, Dkt. Matteo Rizzo  akitoa ufafanuzi juu ya kitabu hicho kinachozungumzia biashara ya Daladala nchini mpaka kufikia kwenye mradi wa mabasi yaendayo Haraka, Mwandishi huyo ameonesha katika kitabu hicho namna biashara ya daladala nchini na katika Uchumi wa mtu mmojammoja wa madereva na Makonda.   
Mtafiti wa Taasisi ya Repoa, Dkt. Blandina Kilama akifafanua jambo baada ya kuwasilishwa kwa kitabu cha Taken to Ride kilichoandikwa na Mtafiti, Dkt. Matteo Rizzo.
 Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zubeir Kabwe akichangia mada wakati wa mjadala wa kitabu hicho uliofanyika katika ukumbi wa Repoa Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
 Mchambuzi wa masuala ya uchumi nchini, Profesa Honest Ngowi akichangia mada baada ya kuzinduliwa kwa kitabu hicho
  Baadhi ya walioshiriki katiika uzinduzi wa kitabu  kinachozungumzia masuala ya Daladala  na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.


Hivyo makala KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR

yaani makala yote KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/kitabu-kichozungumzia-uchumi-wa_8.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR"

Post a Comment

Loading...