Loading...

MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

Loading...
MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
link : MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

soma pia


MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

Maelfu ya waombolezaji leo wamehudhuria mazishi ya aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes aliyezikwa leo Alhamisi Novemba 23, 2017 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Viongozi mbalimbali walihudhuria mazishi hayo ya Marehemu Kleist Sykes, aliyefariki dunia jana Jumatano Novemba 21, 2017, wakiwemo Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman na Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa aliemuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Marehemu  Kleist Sykes, ambaye alikuwa mtoto wa marehemu Abdulwahid Sykes, mmoja wa waasisi wa chama cha TANU, na ambaye alipewa jina la babu yake Mzee Kleist Sykes, alikuwa Meya wa jiji la Dar es salaam na pia diwani wa kata ya Kivukoni kati ya mwaka 2000 na 2005.
 Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes likiwasili katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
Abraham Sykes, mdogo wa  aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes akiweka udongo kaburini katika  makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
 Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika mazishi ya aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes  katika  makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
 Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa aliemuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki katika mazishi ya aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes  katika  makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
 Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman  akishiriki katika mazishi ya aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes  katika  makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
 Msanii Dully Sykes akishiriki katika mazishi ya baba yake mkubwa aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes  katika  makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo Novemba 23, 2017 
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman na Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa aliemuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Mzee Kingunge Ngombare Mwilu na Mtahiki Meya wa Manispaa wa Kinondoni Mh.Benjamin Sitta wakiwa mazishini.


Hivyo makala MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

yaani makala yote MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/maelfu-wamzika-meya-mstaafu-wa-dar-es.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM"

Post a Comment

Loading...