Loading...

ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI

Loading...
ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI
link : ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI

soma pia


ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI


Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Sherif El Barbary akizungumza katika maadhimisho ya wiki ya kupambana na makosa ya kughushi yaliyohudhuriwa pia na maafisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) yaliyofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Meneja wa Zantel anayeshughulikia masuala ya Afya, Usalam na Ulinzi Nashon Mudala.
Meneja wa Zantel anayeshughulikia masuala ya Afya, Usalama na Ulinzi Nashon Mudala akizungumza wakati wa maadhimisho ya wiki ya kupambana na makosa ya kughushi yaliyohudhuriwa pia na maafisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) yaliyofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Pamoja naye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Sherif El Barbary.
Afisa wa Kampuni ya Zantel Hamid Mohamed Bakar akizungumza wakati wa maadhimisho ya wiki ya kupambana na makosa ya kughushi yaliyohudhuriwa pia na maafisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu Joanitha Rwegasira Mrengo akizungumza katika maadhimisho ya wiki ya kupambana na makosa ya kughushi yaliyohudhuriwa pia na maafisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) yaliyofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Sherif El Barbary.



Hivyo makala ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI

yaani makala yote ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/zantel-yashiriki-maadhimisho-ya-siku.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ZANTEL YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU KUPAMBANA NA MAKOSA YA KUGHUSHI"

Post a Comment

Loading...