Loading...

JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC.

Loading...
JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC.
link : JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC.

soma pia


JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC.


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linategemea kuaga Miili ya Mashujaa wetu waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.
Marehemu wataagwa rasmi kesho Desemba 14, 2017 kuanzia saa 1 asubuhi  katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Upanga jijini Dar es Salaam.
Wananchi wote wanakaribishwa katika kuaga Miili ya Mashujaa wetu.
         
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Desemba 13, 2017.



Hivyo makala JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC.

yaani makala yote JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/jwtz-kesho-kuaga-miili-ya-mashujaa-wetu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JWTZ KESHO KUAGA MIILI YA MASHUJAA WETU WALIOUWAWA NCHINI DRC."

Post a Comment

Loading...