Loading...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma.

Loading...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma.
link : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma.

soma pia


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma.

MAKAMU wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akizundua Kitabu cha Kampeni  Uzalendo na Utaifa  Kwanza katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakishuhudia uzinduzi huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Dkt. Herrison Mwakyembe, uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma
MAKAMU wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha picha ya Kitabu cha Kampeni Uzalendo na Utaifa Kwanza baada ya kukizundua katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, akiwa na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Dk Herrison Mwakyembe, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassima Majaliwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa nakala ya Kitabu cha Kampeni  Uzalendo na Utaifa Kwanza na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, baada ya kukizindua kitabu hicho katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisoma kitabu cha Uzalendo Kwanza baada ya kuzinduliwa na kukabidhiwa nakala ya kitabu hicho katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa


WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa Kwanza katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma 







Hivyo makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma.

yaani makala yote Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa_60.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Ahudhuria Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa "Nchi Yangu Kwanza" Uzinduzi Huo Umefanyika Mkoani Dodoma."

Post a Comment

Loading...