Loading...

Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu

Loading...
Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu
link : Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu

soma pia


Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu



Kiungo wa Zanzibar Heroes, Abdul Aziz Makame ambae aliifungia Zanzibar Heroes goli la kwanza dhidi ya Uganda Cranes na kuchaguliwa nyota wa mchezo Man of the match.


Na Abubakar Khatib Kisandu, Machakos Kenya.

Kiungo wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) Abdul aziz Makame (Abui) ameweka hadharani siri kubwa iliyowapelekea kufanya vyema katika Mashindano ya Cecafa  Senior Challenge Cup yanayoendelea nchini Kenya.

Makame amesema umoja wao ndio silaha kubwa kwao mpaka wakafanikiwa kutinga fainali katika Mashindano hayo.

“Sisi tunapendana sana, yani tuna umoja wa hali ya juu sote wachezaji, viongozi mpaka Mashabiki wetu, tunapokosea tunafahamishana kwa lengo la kutengeneza si kubomoa ndio maana sasa tumefika fainali”. Alisema Makame.

Makame alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo (Man of the Match) katika mchezo wa nusu fainali ya pili kati ya Zanzibar na Uganda ambapo Zanzibar ilishinda 2-1 na kesho Jumapili saa 9:00 Alaasiri Zanzibar itacheza fainali na wenyeji Kenya mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Kenyatta uliopo Machakos nchini Kenya.


Hivyo makala Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu

yaani makala yote Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/siri-ya-zanzibar-heroes-kufanya-vizuri.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Siri ya Zanzibar Heroes kufanya vizuri yatajwa: Ni Umoja wetu"

Post a Comment

Loading...