Loading...

TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM

Loading...
TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM
link : TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM

soma pia


TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM

Familia ya Dkt. Fanuel Maro na  Bibi Violet Maro ya Upanga Mashariki jijini Dar es salaam  inasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Rose Fanuel Maro kilichotokea jana Alhamisi Desemba 7, 2017 katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na marafiki popote pale walipo.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Mtaa wa Longido, Upanga Mashariki, jijini Dar es salaam.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiwe - AMINA


Hivyo makala TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM

yaani makala yote TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/tanzia-rose-fanuel-maro-afariki-dunia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA: ROSE FANUEL MARO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM"

Post a Comment

Loading...