Loading...

MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA

Loading...
MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA
link : MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA

soma pia


MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa darasa nne na kidato cha pili iliyofanyika Novemba mwaka jana, huku idadi kubwa ya wanafunzi wakifaulu vizuri katika mitihani hiyo.

Akitangaza matokeo hayo leo Jumatatu, Januari 8, Katibu Mtendaji wa baraza hilo,  Dk Charles Msonde  (pichani) amesema jumla ya wanafunzi 1,086,156 waliofanya mtihani wa darasa la nne wamefaulu  kati ya 1,158,444 waliofanya upimaji huo.

Amesema  wanafunzi hao wamefaulu kwa kupata alama zenye madaraja ya A,B,C na D wakati wanafunzi 72,288 sawa na asilimilia 6.24 wamepata alama za daraja E, ambao ni ufaulu usioridhisha.

Kuhusu matokea ya upimaji wa kidato cha pili, Dk Msonde  amesema jumla ya wanafunzi 433,453 sawa na asilimia 82.32 kati ya 486,742 waliosajiliwa  kufanya mtihani huo wamepata ujuzi wa maarifa ya kuwawezesha kuendelea  na kidato cha tatu.
Dk Msonde alisema wanafunzi wa kidato cha pili  51,807 sawa na asilimia 10.68 wameshindwa kupata alama za kuwawezesha kuendelea na kidato cha tatu.


Hivyo makala MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA

yaani makala yote MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/matokeo-ya-darasa-la-nne-na-kidato-cha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATOKEO YA DARASA LA NNE NA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA"

Post a Comment

Loading...