Loading...

CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA

Loading...
CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA
link : CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA

soma pia


CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA

Bondia wa Kimataifa Francis Cheka anatarajia kupigana na Bondia Arney Tinampay Kutoka Nchini Ufilipino katika Pambano la raundi 10 litakalofanyika katika Uwanja wa Umoja nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara mwanzoni mwa mwezi wa Nne.

Kwa mara ya Kwanza Bondia Franciss Cheka anapigana Mchezo wa Kimataifa wa Kutetea Ubingwa wa Mkanda wa UBO wa kilogram76 katika Mkoa wa Mtwara,ambapo tayari ameanza Kufanya maandalizi ya Mazoezi tayari kwa Pambano hilo.AKiongea na waandishi wa habari Promota Jay Msangi anasema Bondia Kutoa Ufilipino anatoka katika Historia ya mabondia wakubwa.

“Bondia huyu anahistoria anatokea katika kambi ya Man Pacquiao na anayemfundisha  aliwah pia kumfundisha Pacquiao na ni Bondia mwenye kushika daraja la pili katika Nchi ya Ufilipino kenye uzito wa Kilogram 76 na hivyo unaweza kuona kwa Francis Cheka anakutana na Bondia Mwenye uwezo mkubwa”alisema Promota Jay Msangi.

Naye Fransis Cheka anasema anajiamini licha ya kuwa hamfahamu Bondia huyo Kutoka Ufilipino lakini uwezo wake ni mkubwa kupigana na bondia yeyote wa kiwango chake.

“Sifaham Uwezo wa Mfilipino lakini najifaham uwezo wangu kwa sababunimeshakuwa Bingwa wa Dunia na hivyo nawahakikishia Watanzania hususani wakazi wa mkoa wa Mtwara nitafanya vizuri,Simfahamu huyo Bondia lakini nitakapokutana naye Ulingoni tutafahamiana Hapo Hapo”Alisema ChekaCheka.

Wakati huo huo Bondia Francis Cheka amekabidhia Ubalozi wa Kuitangaza Eneo la Mikindani ambalo linamajengo ya Kihistoria. 
 Mzee Mohammed Kidume Akimsimika Ubalozi wa Mikindani Bondia Francis Cheka katikati kwa lengo la Kutangaza historia ya Majengo ya Kale ambayo yalitumiwa na Wakoloni.
Bondia Francis Cheka akiwa na wazee wa Mikindani Mara baada ya kukabidhiwa Ubalozi wa kutangaza Hotel ya Old Boma Iliyopo Mkoani Mtwara.


Hivyo makala CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA

yaani makala yote CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/cheka-kuzichapa-na-mfilipino-mtwara.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA"

Post a Comment

Loading...