Loading...

SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0

Loading...
SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0
link : SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0

soma pia


SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0

 Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akishangilia moja ya bao alilofunga katika mchezo dhidi ya Mbao FC mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo. Simba iliibugiza Mbao FC bao 5 - 0.
 Beki kisiki wa Simba SC, Erasto Nyoni akiwa katika furaha na Kiungo Mkabaji wa Kikosi hicho, James Kotei.
Emmanuel Okwi akiwa chini baadayakuchezewa ndivyo sivyo na Beki wa Mbao FC.
 Mashabiki wa Klabu ya Simba akifutilia mtanange huo, ambapo timu yao iliibuka na ushindi wa bao 5 - 0 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mbao FC.


Hivyo makala SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0

yaani makala yote SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/simba-yaibugiza-mbao-fc-bao-5-0.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0"

Post a Comment

Loading...