Loading...

DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA

Loading...
DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA
link : DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA

soma pia


DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA


Na Leandra Gabriel,Globu ya jamii
FARU dume mweupe maarufu kama Sudan amefariki akiwa na umri wa miaka 45.

Imeelezwa kuwa kifo chake kilisababishwa na matatizo ya kiafya hasa umri wake ambapo ilisababisha kudhoofu.Hadi kifo kinamkuta Sudan alikuwa chini ya ulinzi mkali dhidi wa majangili.

Jumanne wiki iliyopita ilitangazwa kuwa hali ya Sudan sio nzuri na amekuwa chini ya uangalizi  maalumu katika hifadhi ya Ol Pejeta nchini Kenya.

Aidha Mwakilishi wa hifadhi ya Ol Pejeta Sampere Elodie amemuelezea Sudan kama Faru jasiri aliyekuwa mlinzi wa wenzake dhidi ya majangili mbugani hapo na aliogopwa kutokana na umbo na muonekano wake.

Aidha imeelezwa baadhi ya jeni (genetics) zake zimeweza kuhifadhiwa na zawezwa kupandikizwa kwa  mmoja wa faru aliowaacha (Najin) kupitia seli ili kuweza kupata faru wa aina yake tena.

Faru Sudan ameacha faru jike wawili wa aina yake (mtoto na mjukuu) maarufu kama Najin na Fatu ambaye ni tasa.



Hivyo makala DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA

yaani makala yote DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/dunia-yampoteza-faru-mweupe-aliyesalia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA"

Post a Comment

Loading...