Loading...

ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE

Loading...
ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE
link : ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE

soma pia


ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE

Na Anthony Ishengoma WAMJW
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Umoja wa Mataifa unaonesha kuwa kati ya asilimia 7 na 16 ya wanawake wote duniani ni Wajane.  

Jamii imetakiwa kuendeleza mipango na kuongeza juhudi zaidi katika kukabiliana na vitendo vya ukatili, unyanyasaji na kuwainua wajane ili wapate uwezo wa kiuchumi wa kuzihudumia familia na wategemezi wao kwa kuwa ndiyo muhimili pekee wa familia iliyoachwa.

Akiongea kwa niaba ya Mgeni rasmi wa kongamano la Wajane liliofanyika leo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa Bi. Honoratha Rwegasira amepongeza juhudi za wadau wa maendeleo na serikali katika kuwasaidia wajane kuleta usawa wa kinjisia na kuinua ushiriki wao katika ngazi za kutoa maamuzi.  

Aidha Bi.Rwegasira ameitaka jamii kuacha mila potofu kama vile kunyanganya mali mjane, kuozesha watoto wa kike katika umri mdogo, kurithi wajane na nyingine zote zinazoweza kumdhoofisha mwanamke katika jitihada zake za kujikwamua kifikra, kiutamaduni, kiuchumi,kijamii na kisiasa.

Wakati huohuo Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Jinsia kutoka Wizara  ya Afya,Idara Kuu Maendeleo ya Jamii Bi. Mwajuma Magwiza amesema kimsingi lengo la maadhimisho ya Siku ya Wajane Duniani ni kutoa nafasi kwa Wadau kushirikiana na Serikali kwa kutoa huduma za msingi kwa wajane na kuondoa aina zote za ukandamizaji ikiwemo haki ya kumiliki mali, umasikini, mira na desturi za kurithiwa baada ya kufiwa.
 Mkurugezi  Msaidizi  Idara ya Jinsia, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Mwajuma Magwiza akitoa hutuba yake kwenye  Kongomano la Wajane lililofanyika leo Mjini Dodoma.
 Afisa Mwandamizi  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi .Sirivia Siliwa  akitoa mada kuhusu Chimbuko la  Siku ya  Wajane Duniani wakati wa Kongomano la Wajane lilifanyika leo Mjini Dodoma.
 Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma  Bi. Honoratha Rwegasira  akitoa hutuba ufunguzi  kwa niahaba ya Mgeni rasmi wakati wa  Kongomano la Wajane lililofanyika leo Mjini Dodoma.
Wajane wa Mkoa  wa Dodoma wakiwa kwenye  Kongomano la Wajane lililofanyika leo Mjini Dodoma. Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE

yaani makala yote ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/asilimia-7-hadi-16-ya-wanawake-wote.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE"

Post a Comment

Loading...