Loading...

MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI.

Loading...
MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI.
link : MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI.

soma pia


MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI.



Mwambawahabari
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Mhe. Paul Makonda  leo amekabidhi  hati  ya nyumba kwa familia ya  Bi. Zainabu Kaswaka iliyoteseka na kusababisha ugonjwa wa Kupooza kwa Mume wake baada ya  nyumba na ardhi yao kuuzwa baada ya Matapeli  kutumia  hati  ya nyumba yao kuchukuwa  mkopo Bank ya FNB pasipo familia kujua.

Upatikanaji wa  hati hiyo umekuja baada ya majadiliano ya kina baina ya  RC Makonda, Wanasheria na Bank ya FNB  iliyotoa Mkopo ambapo baada ya Mkuu wa mkoa  kuagiza kufanyika uchunguzi  Bank ilibaini  uzembe wa baadhi ya watumishi  wao Bank hiyo uliopelekea kasoro hiyo.

RC Makonda  pia amefanikiwa  kumuhakikishia makazi ya kudumu Mama Mjane Bi. Benadetha Rwendera  alietakiwa kuondoka kwenye nyumba yake na kujikuta  akilala nje baada ya  kununua eneo na kujenga Nyumba  pasipokujua kuwa aliemuuzia eneo tayari alikuwa amechukuwa  Mkopo Bank ya KCB  jambo lililopelekea  nyumba kuvunjwa na kuuzwa ambapo baada ya majadiliano baina ya  RC Makonda na Bank ya KCB waliafiki kwa pamoja  kumuachia mjane aendelee kuishi wakati kesi ikiendelea  mahakamani  na pindi hukumu itakapotoka utafanyika mgawanyo  wa ardhi.

Aidha  RC Makonda amesema hadi sasa Mkoa umefanikiwa kusikiliza kesi za Wananchi zaidi ya 1,028,000 ambapo Kesi zilizotatuliwa ofisini kwake ni  628,000 na kesi zilizokwenda  mahakamani ni 60 ambapo Kati ya hizo  kesi 17  zemeshatolewa hukumu na  watu kupata haki zao  chini ya usimamizi wa Ofisi ya  RC Makonda kupitia msaada wa Mawakili waliowasimamia  bila malipo.

Itakumbukwa  RC Makonda  aliahidi kuwasaidia wananchi wasiokuwa na uwezo wa kulipa mawakili Bure  na haya Ndio matunda yake.




Hivyo makala MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI.

yaani makala yote MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/makonda-afanikisha-kurejesha-kwa-nyumba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKONDA AFANIKISHA KUREJESHA KWA NYUMBA ZILIZOPIGWA MNADA NA BANK KWA NJIAZISIZO HALALI."

Post a Comment

Loading...