Loading...

Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba

Loading...
Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba
link : Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba

soma pia


Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba

 WAZIRI wa Viwanda na Uwekezaji , Charles Mwijage (wa pili kushoto), akipata maelezo  kutoka kwa Mtafiti Msaidizi  wa  Kampuni ya Camartec ya Arusha,  Mhandisi  Noela  Byabachwezi kuhusu zana za kilimo zinazotengenezwa na    kampuni hiyo, katika viwanja vya Maonyesho ya  42 ya Biashara ya Kimataifa, yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,  Dar es Salaam, jana.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara ya Kimataifa Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutageruka
 .Meneja  Biashara wa Kampuni ya Tigo, Wande Shisael, akiongea na waandishi wa habari, kuhusu kampuni hiyo kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya  Biashara ya Kimataifa Tanzania (TANRADE) kuandaa maonyesho  42 ya  kimataifa ya Biashara iashara maarufu kama Sabasaba, yanayofanyika kiatika viwanja vya  maonyesho vya  Mwalimu Julius Nyerere, , Dar es Salaam, jana. Kushoto ni  Meneja  Ukuzaji Biashara  wa TANTRADE, Stephrn Koberou.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Dr.Mathias  Lugoye, (kulia) akiwapa maelezo wananchi waliotembelea banda la chuo hicho,  katika Maonyesho ya Kimataifa ya 42 ya Biashara, yanayofanyika katika Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, jana, kuhusu teknolojia  ya usindikaji bidhaa inayobuniwa na chuo hicho.
 Meneja wa Mawasiliano wa VETA, Sitta Peter akitoa maelezo kwa wananchi wanaotembelea Maonyesho ya Kimataifa ya 42 ya Biashara, yanayofanyika katika Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, , kuhusu nafunzo ya ufundi yanazalishwa na VETA
 Wananchi wakipata maelezo kuhusiana na ufundi mbalimbali unaotolewa na vyuo vya VETA. Picha na Chalila Kibuda wa Globu ya Jamii


Hivyo makala Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba

yaani makala yote Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/matukio-ya-mbalimbali-ya-maonesho-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba"

Post a Comment

Loading...