Loading...

Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni

Loading...
Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni
link : Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni

soma pia


Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akiweka saini kwenye kitabu cha wageni wakati wa ziara fupi kukagua ujenzi wa chumba kitakachokuwa kinatoa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za Ardhi (ILMIS)  katika Mradi wa Mfano Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
 Katibu  Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akizungumza na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Benjamini Sitta wakati wa ziara fupi  kukagua ujenzi wa chumba kitakachotumia Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za Ardhi (ILMIS) katika Mradi wa Mfano Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akioneshwa namna jalada ambalo taarifa zake tayari zimeshafanyiwa kazi na mfumo huo linavyoonekana katika Mradi wa Mfano unaotekelezwa katika Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Picha na Ofis ya Waziri Mkuu


Hivyo makala Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni

yaani makala yote Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/prof-kamuzora-akagua-ujenzi-wa-chumba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Prof. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo Unganishi wa Usimamizi wa taarifa za ardhi (ILMIS) Kinondoni"

Post a Comment

Loading...