Loading...

Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais

Loading...
Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais
link : Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais

soma pia


Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais

Viongozi wa Ilala yetu wakiwa katika Picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema Dar es salaam hivi karibuni wakati wa kumpongeza Rais John Magufuli, Katoka (kushoto)Vaileth Mbele ,Mohamed HONELO, MRATIBU wa ILALA Heri Shaban na Marysia Tukai(Picha na ILALA yetu)

Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema akipokea zawadi kutoka kwa Mohamed HONELO, hivi karibuni wakati Wana Ilala yetu   walipokwenda kupeleka salam za pongezi kwa Rais kwa kuwatumikia wananchi wake katika  Tanzania ya viwanda (Picha na Ilala yetu)
Na Mwandishi wetu

UMOJA wa Ilala yetu wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli kwa utendaji wake wa kazi    mzuri na   kuongoza mapambano ya ukombozi wa Bara la Afrika kiuchumi.

Hayo yalisemwa na  MRATIBU wa Ilala Yetu, Heri  Shaban alipokwenda kupeleka salam za Rais kwa Mkuu wa wilaya  ya Ilala .

"Natumia nafasi hii kumpongeza Rais kwa utendaji wake wa kazi mzuri katika uongozi wake  ameweza kuleta ndege ya nne Kati ya saba ameweza kusimamia Ilani ya chama vizuri  katika Tanzania ya viwanda "alisema Shaaban.

Shaaban alisema kwa sasa nchi yetu imeweza kupiga hatua kiuchumi Rais Magufuli ameweza kusimamia    miradi makubwa  ikiwemo reli ya umeme  .

Alisema jumuiya ya Ilala yetu itashirikiana na Serikali iliyopo madarakani katika kuleta Maendeleo,kutatua kero za Wananchi wa Wilaya ya Ilala na usimamiaji wa Ilani ya chama .


Aidha alisema umoja wa Ilala yetu ulianzishwa mwaka 2017 dhumuni lake kushirikiana kwa shida na raha,kushirikiana na Serikali kutatua kero mbalimbali.


 Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema ameipongeza jumuiya hiyo kwa kutoa salam zao atazifikisha kwa Rais.

 Mjema aliwataka wana Ilala kushirikiana na Serikali yao iliopo madarakani na kuunga mkono kazi za Rais.

Naye Mwananchi wa Ilala yetu,Mohamedi HONELO alisema    Rais Magufuli ameweza kuitangaza nchi kwa kuipandisha nchi kimapato na uchumi wa viwanda.

HONELO alipongeza    Serikali kwa kuboresha huduma za Afya katika hospitali zake ,pamoja na ukusanyaji mzuri wa mapato mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.



Hivyo makala Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais

yaani makala yote Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/umoja-wa-ilala-yetu-wampongeza-rais.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Umoja wa Ilala yetu wampongeza Rais"

Post a Comment

Loading...