Loading...

WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Loading...
WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM
link : WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM

soma pia


WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (SMZ), Mohamed Aboud Mohamed (aliyeshika mkasi), akizindua Ripoti ya Takwimu ya Biashara Haramu ya Usafirishaji wa  Binadamu kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wakati wa kuhitimisha warsha iliyozikutanisha nchi 16, uliokuwa na lengo la Kupambana na  Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, Tanzania ikiwa mwenyeji wa mkutano huo, uliofanyika leo  jijini  Dar es Salaam. Kulia ni  Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana  na  Biashara  Haramu  ya  Binadamu, Amatus Magere. 
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (SMZ), Mohamed Aboud Mohamed akizungumza wakati wa Uzinduzi wa  Ripoti ya Takwimu ya Biashara Haramu ya Usafirishaji  wa  Binadamu  kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini  mwa  Afrika (SADC), wakati  wa  kuhitimisha warsha iliyozikutanisha nchi 16, uliokuwa  na  lengo la  Kupambana na  Biashara Haramu ya Usafirishaji  wa  Binadamu, Tanzania  ikiwa mwenyeji  wa  mkutano huo, uliofanyika leo  jijini  Dar es Salaam. 
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (SMZ), Mohamed Aboud Mohamed,akisalimiana na wawakilishi wa nchi mbalimbali baada ya  kuzindua  Ripoti ya Takwimu ya Biashara Haramu ya Usafirishaji  wa  Binadamu kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wakati wa kuhitimisha Warsha iliyozikutanisha nchi 16, uliokuwa na lengo la Kupambana na  Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu,Tanzania ikiwa mwenyeji wa mkutano huo,uliofanyika  jijini Dar es Salaam.

Waziri  wa  Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (SMZ), Mohamed Aboud Mohamed (katikati mstari wa mbele), akiwa  katika  picha  ya  pamoja  na  Washiriki kutoka  nchi 16 baada ya kuzindua  Ripoti ya Takwimu  ya  Biashara  Haramu ya Usafirishaji  wa  Binadamu kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wakati wa kuhitimisha  Warsha iliyozikutanisha  nchi  hizo, uliokuwa na lengo la Kupambana na  Biashara Haramu  ya  Usafirishaji  wa  Binadamu, Tanzania ikiwa mwenyeji wa mkutano huo, uliofanyika leo  jijini Dar es Salaam. 
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.


Hivyo makala WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM

yaani makala yote WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/waziri-azindua-ripoti-ya-takwimu-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI AZINDUA RIPOTI YA TAKWIMU YA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI WA BINADAMU LEO JIJINI DAR ES SALAAM"

Post a Comment

Loading...