Loading...

ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU.

Loading...
ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU.
link : ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU.

soma pia


ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU.




Mwambawahabari Na.John Luhende
Watanzania  wametakiwa kuungana pamoja katika kuijenga nchi na kudumisha amani  ilyopo kuthaminiana ,  kusaidiana na  kutoa ushirikiano kwa Serikali katika kutekeleza majukumu yake. 

Hayo yamesemwa na Akofu wa Dayosis ya Dar es salaam  wa kanisa Anglicana Jackson Sosthnes Jackson ,katika Ibada ya kuweka jiwela msingi katika jingo la kanisa la mtakatifu  Elizabeth Chanika  Jijini Dar es salaam, na kuwashukuru waumini wa kanisa hilo kwa moyo wao wa kujitolea   kwa hali na mali.

“Niwashukuru sana mliotoa kwaajili ya ujenzi wa kanisa  najua mmeacha kuweka sakafu nyumbazenu ,mmeacha kuboresha  makazi yenu na kuamua kumjengea Bwana  nanimaombi yangu kuwa mbingu zisiwe kimya Mungu awabariki na kuwazidishia” alisema

Aidha amewatiamoyo wote waliochangia ujenzi huo na kuwaombea kwa Mungu awaepushe na magonjwa  na kubariki kazi za mikono yao, katika hatua nyingine Askofu Jackson  ameongoza ibaadaya ya kipaimara ambapo vijana  43  wamewekewa mikono na kuwathibishwa  ikiwemo kujazwa roho mtakatifu na kuwataka kulitaka kanisa kuwa karibu na Mungu.

Nao baadhi ya waumini  na vijana walipata kipaimara wamewahimiza vijana wenzao amambao bado hawajafika daraja hilo kuchangamkia mafundisho kwani muda hauwasubiri .

Ujenzi wa  Kanisa la Mtakatifu Elizabeth ,unatarajiwa kugharimu jumla ya shilingi million 600 ,ambapo kwa sasa tayari zaidi ya shilingi million 30 zimeshatumi na jingo liko katika hatua ya kusimamisha nguzo usa wa lenta,na zoezi la kuchangia ujenzi huo  linaendelea.

Pamoja na hayo Askofu Sosthenes amewaombea hekima na  afya njema Rais wa Jmamhuri ya Muungano wa Tanzania na viongozi wengine wa Serikali iliwaongoze chini ya ungozi wa Mungu  kama apendavyo.

‘’Hivi karibuni tuliptwa na msiba mkubwa wenzetu walipatwa na ajali ya maji huko  Ukerewe  tunazipapole familia zote na watanzania kwa ujumla niwasihi tuwe na tumaini  na mungu aliepushe taifa letu na maafa kamahayo’’alisema

















Hivyo makala ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU.

yaani makala yote ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/askofu-jackson-sosthenes-aweka-jiwe-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ASKOFU JACKSON SOSTHENES AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI KANISA ANGLIKANA CHANIKA , ATOA UJUMBE HUU."

Post a Comment

Loading...