Loading...

VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI

Loading...
VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI
link : VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI

soma pia


VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI

Na Leandra Gabriel, blogu ya jamii

KATIKA kuelekea kuadhimisha miaka mitatu ya uongozi wa Rais John Magufuli vijana kutoka kata za Mbagala wakiwa na kauli ya "Jamii Mpya" wametuma salamu za pongezi na kumtakia afya njema ya mwili na akili  kwa Rais na wameomba utaratibu katika ngazi za kata na Wilaya ili waweze kujiunga na CCM.

Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Dar live, mratibu wa shughuli hiyo Ally Makwilo ameeleza kuwa  tamasha hilo ni la kumpongeza Rais Magufuli kwa nguvu na juhudi katika kujenga jamii mpya na wanamuamini sana katika suala la uongozi na kutenda haki na wamemshukuru  katika juhudi zake za utoaji wa elimu bure, ujenzi wa viwanda, kupiga vita rushwa, ufisadi na usawa.

Kuhusiana na vijana kutaka kujiunga na Chama cha Mapinduzi, Makwilo amesema kuwa vijana 8140 kutoka Mbagala wanaomba utaratibu wa kujiunga na chama hicho ili waweze kuwa nae pamoja katika ujenzi wa taifa na amewaasa vijana kutumia fursa ya elimu inayotolewa bure katika kutimiza malengo yao.

Kwa upande wake mwenyekiti wa hafla hiyo Joyce Mbena amesema kuwa malengo ya kongamano hilo yamelenga pia kuwafanya vijana kutambua nafasi yao kuanzia na yale ambayo serikali inafanya kwa ajili yao.

Aidha amewataka viongozi wengine bila kujali itikadi ili kuweza kulifikisha taifa mbali zaidi na pia wao kama vijana wapo bega kwa bega na wamehaidi kushirikiana nae katika ujenzi wa taifa kwani wao ni jamii mpya.

Aidha vijana hao wameeleza kuwa hawapo tayari kusikia wala kuona Rais akidhihakiwa  au kutoa maneno ya kejeli kwani amekuwa mstari wa mbele katika kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi.Mratibu wa tamasha la kumpongeza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli Maendeo Allya Mamwilo akizungumza na Michuzi Blog leo jijini Dar es Salaam.
 Picha ya pamoja

  Sehemu ya vijana waliofika kwenye tamasha la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli lililo fanyika leo Mbagala jiji Dar es Salaam.(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)


Hivyo makala VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI

yaani makala yote VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/vijana-8140-wa-mbagala-waomba-utaratibu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "VIJANA 8140 WA MBAGALA WAOMBA UTARATIBU KUPATIWA KADI ZA CCM, WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI"

Post a Comment

Loading...