Loading...

MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI

Loading...
MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI
link : MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI

soma pia


MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akielekeza jambo wakati alipokuwa akiwapatia mawaidha wachezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu (Basket Ball) ya Benki hiyo, inayoshiriki michuano ya mabenki (Bankers Basketball League) iliyoanza kutimua vumbi leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam. Nsekela alifika uwanjani hapo kuwapa hamasa vijana wake na kuwatakia ushindani uliokuwa mwema katika mchezo huo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiepana mkono na mmoja wa wachezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu (Basket Ball) ya Benki hiyo, inayoshiriki michuano ya mabenki (Bankers Basketball League) iliyoanza kutimua vumbi leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam.
 Kikosi cha Timu ya Benki ya CRDB. 
 Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu ya Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kushoto) akiwa katika harakati za kutoka ngome ya wapinzani wao Benki ya DTB, katika mchezo uliopigwa leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Hivyo makala MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI

yaani makala yote MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/mkurugenzi-mtendaji-wa-benki-ya-crdb_27.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUOANO YA MABENKI"

Post a Comment

Loading...