Loading...

DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO

Loading...
DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO
link : DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO

soma pia


DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO

BENKI ya Biashara ya DCB ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Godfrey Ndalahwa,  wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma ikiwa ni muendelezo kampeni ya kuhamasisha uuzaji wa hisa zake kwa Wabunge na watanzania wote.

Akizungumza wakati akimtambulisha Mkurugenzi mtendaji  huyo pamoja na ujumbe wake, Spika wa Bunge Job Ndugai aliwatangazia wabunge hao taarifa za uzinduzi huo na ya kwamba hisa zinaweza kununuliwa katika matawi ya benki hiyo, mawakala wa Solo la Hisa (DSE) kwa bei pungufu ya shs 265 na ya kwamba benki hiyo sasa ni benki ya biashara.

DCB ilizindua zoezi la kuuza hisa zake Novemba 12 mwaka huu huku mwanahisa namba moja Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa akiwa mteja wa kwanza  kujitokeza kununua hisa.


Hivyo makala DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO

yaani makala yote DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/dcb-yawashauri-wabunge-kununua-hisa-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DCB YAWASHAURI WABUNGE KUNUNUA HISA ZA BENKI HIYO"

Post a Comment

Loading...