Loading...

FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU

Loading...
FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU
link : FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU

soma pia


FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU



Askofu mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG) Dkt. Barnabas Mtokambali amesema Mwenyezi Mungu anapenda maadhimisho kwa kuwa ni sehemu ya kujifunza, kumsifu, kujenga ushirika na kumtolea shukran. Dkt. Mtokambali amebainisha hayo Mjini Dodoma, kwenye sherehe za maadhimisho ya mchungaji Vangast Salum wa kanisa la TAG, kwa kutimiza miaka 40 ya wokovu na 36 ya huduma na kuweka wakfu kitabu.
Amesema moja ya sababu za maadhimisho ni kujifunza, akitolea mfano mchungaji Vangast Salum, amepitia hatua mbalimbali za maisha na kiuchungaji na kwamba maadhimisho pia yanajenga ushirika zaidi na Mwenyezi Mungu kwa kuwaleta watu karibu.

Kiongozi huyo wa juu wa kanisa la TAG Tanzania amesema kuwa sababu ya tatu ya maadhimisho ni kumsifu Mwenyezi Mungu kwa yote aliyoyafanya juu ya maisha ya mchungaji Vangast Salum kwa kipindi cha miaka 40 ya wokovu, na kumtaka kutoa shukran za kumsifu Mwenyezi Mungu.
Wakati huo huo Askofu mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG) Dkt. Barnabas Mtokambali amepata fursa ya kuzindua vitabu 500 vya mafundisho ya dini na uzinduzi wa jengo la darasa na Ofisi ya mchungaji wa kanisa hilo eneo la Area D Mjini Dodoma.


Hivyo makala FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU

yaani makala yote FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/faida-ya-maadhimisho-na-mwenyezi-mungu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "FAIDA YA MAADHIMISHO NA MWENYEZI MUNGU"

Post a Comment

Loading...