Loading...

KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA

Loading...
KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA
link : KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA

soma pia


KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
SERIKALI imesema kuwa inatambua na kuthamini mchango unaotolewa na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)katika kuandaa watalaam wa Tasnia ya Uhasibu, Ununuzi na Ugavi Biashara pamoja na uongozi wa Rasilimali Watu.

Hayo ameyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Doto James wakati alipomwakilisha Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango  katika mahafali ya 16 ya Taasisi Uhasibu Tanzania  kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam.

James amesema kuwa serikali itaendelea kuunga mkono pamoja na taasisi kutekeleza majukumu kwa weledi katika kubuni mbinu mpya za  kuimarisha mapambano ya kupata mafanikio makubwa.
Amesema Taasisi hiyo iendelee kubuni mbinu kujitangaza zaidi na kujiuza kwa bidhaa wanazozitoa kwa ndani na nje nchi katika ili  kuongeza  wanachuo zaidi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Doto James akizungumza katika mahafali ya 16 ya Taasisi Uhasibu Tanzania (TIA)  kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa TIA, Wakili Said Chiguma akizungumza kuhusiana na hali ya uendeshaji wa Taasisi hiyo katika mahafali ya 16 ya Taasisi Uhasibu Tanzania (TIA)  kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Dkt. Joseph Kihanda akizungumza historia ya taasisi hiyo mahafali ya 16 ya Taasisi Uhasibu Tanzania (TIA)  kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam
Wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania  (TIA) katika  mahafali ya 16 ya Taasisi hiyo   kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam.
Wahitimu wakicheza muziki baada ya kutunukiwa shahada mbalimbali zinazotolewa na Taasisi ya Uhasibu Tanzania  (TIA)katika katika  mahafali ya 16 ya Taasisi hiyo   kwa Kampasi za Dar es Salaam pamoja na  Mtwara yaliyofanyika katika viwanja vya Taasisi hio jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA

yaani makala yote KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/katibu-mkuu-dotoserikli-inatambua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KATIBU MKUU DOTO:SERIKLI INATAMBUA MCHANGO WA TIA"

Post a Comment

Loading...