Loading...
title : RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR
link : RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimwapisha Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, Dkt. Mohammed Sheikh Khatib, hafla hiyo imefanyika leo Ikulu Zanzibar,15-12-2018
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisaini Hati ya Kiapo ya Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar,Dkt. Mohammed Seif Khatib baada ya kiapo, hafla hiyo imefanyika leo Ikulu Zanzibar.15-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mjumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar,Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil, hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar leo,15-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi hati ya Kiapo Mjumbe Mpya wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil, hafla hiyo imefanyika Zanzibar leo,15-12-2018.
BAADHI YA Wakuu wa Wilaya na Viongozi wa SMZ wakihudhuria Hafla ya kuapishwa kwa Wajumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, iliofanyika Ikulu Zanzibar leo,15-12-2018.
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, akiwa na Viongozi wengine wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Wajumbe Wapya wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.leo 15-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, baada ya kuwaapiosha leo Ikulu Zanzibar,kulia Dkt. Mohammed Sheif Khatib na kushoto Ndg. Mbaraka Mohammed Abdulwakil.(Picha na Ikulu)
Hivyo makala RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR
yaani makala yote RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/rais-wa-zanzibar-dkshein-awaapisha.html
0 Response to "RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AWAAPISHA WAJUMBE WAPYA WA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR"
Post a Comment