Loading...

SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI

Loading...
SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI
link : SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI

soma pia


SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI

Kuelekea droo ya upangaji wa timu zitakazokutana katika hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika, unaambiwa hizi nchi si rahisi kukwepeka kwa Simba.

Nchi ambazo Simba SC inaweza ikaangukia ni kati ya Algeria, Misri, DR Congo, Afrika kusini, Nigeria, Zimbabwe, Tunisia au Ivory Coast.

Lakini dalili zinaonyesha Afrika Kusini, Tunisia na DR Congo ni kati ya nchi ambazo Simba ina nafasi kubwa ya kupangwa nazo.

Nchi hizo zina timu mbili na uwezekano wa timu 3 zitakazoivaa Simba katika kundi lake ni kuanzia moja hadi 3 zinaweza kutokea katika nchi hizo


Hivyo makala SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI

yaani makala yote SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/simba-kukutana-droo-ya-upangaji-makundi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBA 'KUKUTANA' DROO YA UPANGAJI MAKUNDI KIMATAIFA NA NCHI HIZI"

Post a Comment

Loading...