Loading...

KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO

Loading...
KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO
link : KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO

soma pia


KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Ndg. Abdul Razaq Badru  akiwasilisha Taarifa ya utekelezaji wa majukumu na bajeti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu kwa kipindi cha nusu mwaka 2018/2019 mbele ya  Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
 Mjumbe wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mheshimiwa Hawa Ghasia akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokuwa ikipokea na kujadili Taarifa ya utekelezaji wa majukumu na bajeti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu kwa kipindi cha nusu mwaka 2018/2019 katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Selukamba akifafanua jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokuwa ikipokea na kujadili Taarifa ya utekelezaji wa majukumu na bajeti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu kwa kipindi cha nusu mwaka 2018/2019 katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.


Hivyo makala KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO

yaani makala yote KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/kamati-ya-huduma-na-maendeleo-ya-jamii.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA YA BODI YA MIKOPO"

Post a Comment

Loading...