Loading...

UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI

Loading...
UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI
link : UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI

soma pia


UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI

 Na Leandra Gabriel, Blogu ya Jamii
Katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la wanamgambo wa Alshabab hapo jana katika   eneo la Riverside mwandishi wa habari aliyekuwa akiandika habari za michezo katika blogu ya Wadau TV na shabiki wa soka nchini humo  James Oduor maarufu kama Odu Cobra ameuwawa katika shambulio hilo siku moja kabla ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa.

Odu alishiriki wakati wake wa mwisho na mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuchapisha kile kilichokuwa kinaendelea baada ya kuwa mateka ila Mungu alimpenda zaidi na alifariki kabla ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa leo Januari 16.
Shambulio hilo lilitekelezwa jana na kundi la wanamgambo wa Alshabab  majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Riverside ambako hoteli ya DusitD2 na ofisi za makampuni mbalimbali zinapatikana.

Chanzo: The StandardMedia



Hivyo makala UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI

yaani makala yote UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/ujumbe-wa-twitter-wa-mwandishi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UJUMBE WA TWITTER WA MWANDISHI ALIYEUWAWA KWA SHAMBULIO LA ALSHABAB KENYA WAACHA SIMANZI"

Post a Comment

Loading...