Loading...
title : LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI
link : LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI
LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni,Sara Msafiri akizungumza na wawekezaji wa vituo vya kuhifadhi mafuta na gesi ambampo ali wasisitiza waendelee kushirikina na wananchi pamoja na kulipa kodi kwa wakati kwa manufaa ya taifa letu katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mrakibu Mwandamizi wa Polisi,John Makuri akizungumza na wawekezaji wa vituo vya kuhifadhi mafuta na gesi ambapo aliwahakikishi watatekeleza majukumu yao ya kulinda usalama wa raia na mali zao katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wawekezaji wa vituo vyakuhifadhi mafuta na gesi wakimsiliza Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sara Msafiri (hayupo pichani) katika mkutano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Hivyo makala LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI
yaani makala yote LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/lipeni-kodi-kwa-wakati-kwa-manufa-ya.html
0 Response to "LIPENI KODI KWA WAKATI KWA MANUFA YA TAIFA -DC KIGAMBONI"
Post a Comment