Loading...

ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI

Loading...
ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI
link : ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI

soma pia


ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI


Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.

WANANCHI wanaoishi vjijini hawana elimu ya uraia ya kuweza kujadili masuala mbalimbali yanayozunguka pamoja,namna ya kufatatilia taarifa zao kwa watoa huduma wa serikali.

Wakizungumza katika mkutano wa utoaji ripoti ya Mradi wa Elimu ya Uraia kwa Ujumbe wa Simu za Mikononi, wamesema kuwa mradi huo umesaidia wananchi kutatua changamoto zao kupitia kutuma ujumbe mfupi kwa njia ya simu.

Akizungumza katika mkutano wa utoaji ripoti hiyo Mkurugenzi wa C-SEMA,Joel Kiiya amesema maeneo yaliyokuwa na changamoto kwa wananchi ni migogoro ya ardhi, Ndoa za Utotoni , Mimba za Utotoni , Miradhi pamoja na juu ya upatikanaji wa yeti vya kuzaliwa.Amesema mradi huo katika wilaya saba uliokuwa ukitekelezwa wananchi wamekuwa na elimu juu ya kupata huduma katika halmashauri .

Mrardi huo umetekezwa katika Wilaya za Karagwe, Chalinze, Bagamoyo , Shinyanga, Kyera, Kahama pamoja na Maswa.Mwakilishi wa Ofisi ya Rais , Katiba na Utawala Bora , Omary Hamis Juma , amesema kuwa Zanzibar walipokuwa wanatengeneza sera ya mtoto wamechukua sehemu ya C-SEMA kutokana vitu hivyo vitajenga katika sera hiyo.


Mkurugenzi wa C-SEMA, Joel Kiiya akizungumza katika Mkutano wa utoaji ripoti ya Mradi wa Elimu ya Uraia kwa Ujumbe wa Simu za Mikononi uliofanyika leo katika Ukumbi wa County Yard Hoteli jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Ofisi ya Rais , Katiba na Utawala Bora , Omary Hamis Juma akizungumza juu ya mradi ulivyoleta matokeo masula mbalimbali yanahusu jamii uliofanyika leo katika Ukumbi wa County Yard Hoteli jijini Dar es Salaam.
Mwakili Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Jaffari Malema akizungumza juu mradi katika matokeo watu kusajili vyeti vya kuzaliwa uliofanyika leo katika Ukumbi wa County Yard Hoteli jijini Dar es Salaam.
Afisa Mawasiliano wa C-SEMA, Itanisia Mbise akizungumza juu ya ukusanyaji wa ujumbe uliokuwa unatumwa katika maeneo ya mradi uliofanyika leo katika Ukumbi wa County Yard Hoteli jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja washiriki wa mradi pamoja na maafisa wa serikali walioshiriki katika mradi huo uliofanyika leo katika Ukumbi wa County Yard Hoteli jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI

yaani makala yote ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/elimu-ya-uraia-yahitajika-maeneo-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ELIMU YA URAIA YAHITAJIKA MAENEO YA VIJIJINI JUU YA UPATIKANAJI WA HUDUMA KATIKA OFISI ZA SERIKALI"

Post a Comment

Loading...