Loading...

Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango

Loading...
Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango
link : Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango

soma pia


Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango


Suleiman Msuya

Profesa Egid Mubofu
RAIS John Magufuli amemteua Profesa Egid Mubofu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Joseph Masikitiko.

Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi ilionesha kuwa uteuzi huo ulianza jana.

Profesa Mubofu alikuwa akikaimu nafasi hiyo kwa muda sasa, hivyo Rais kumwidhinisha moja kwa moja kuongoza TBS ambayo ni taasisi muhimu kwa nchi.

Kabla ya Mubofu kuteuliwa kukaimu nafasi hiyo, alikuwa Mkuu wa Idara ya Kemia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Masikitiko ni mmoja wa wakurugenzi ambao walitumbuliwa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.

Katika kadhia hiyo, Mwijage alimsimamisha pia Meneja wa Fedha, Mipango na Utawala wa TBS, Emmanuel Ntelya pia kupisha uchunguzi.


Hivyo makala Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango

yaani makala yote Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/ateuliwa-kuongoza-shirika-la-viwango.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ateuliwa kuongoza Shirika la Viwango"

Post a Comment

Loading...