Loading...

Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100

Loading...
Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100
link : Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100

soma pia


Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100


Grace Gurisha

MKURUGENZI wa Kampuni ya Afrilulu, Anthony Gulfer (47), ambaye anatuhumiwa kukutwa na kobe zaidi ya 100 wenye thamani ya Sh milioni 18, leo anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.

Gulfer ambaye ni raia wa Australia anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Thomas Simba wakati kesi yake inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.

Wakili wa Serikali, Baltrida Mushi ataieleza Mahakama hatua ya upelelezi ilikofikia, kwa sababu awali aliomba siku nyingine ya kutajwa kwa kesi hiyo ili wakakamilishe upelelezi huo.

Ilidaiwa kuwa Machi 10, maeneo ya Kilomoni Kunduchi Dar es Salaam, Gulfer alikutwa na nyara za Serikali, wakiwamo kobe wanne aina ya Tinged, pia 108 aina ya Leopard na wengine wanne aina ya Aldabra.

Inadaiwa kuwa kobe wote hao wana thamani ya dola za Marekani 8,190 sawa na Sh milioni 18,312,840. Mushi alieleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na kuomba siku nyingine ili kutajwa.

Hakimu Mkeha alisema kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na mamlaka kuhusu dhamana, mshitakiwa anaweza kwenda kuomba Mahakama Kuu.


Hivyo makala Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100

yaani makala yote Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/mkurugenzi-kizimbani-tena-kwa-kobe-100.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mkurugenzi kizimbani tena kwa kobe 100"

Post a Comment

Loading...