Loading...

MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA

Loading...
MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA
link : MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA

soma pia


MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA

 Jana tarehe 28 Agosti, 2017 Katibu Mkuu wa Shirikisho la Jumuiya za Wanafunzi watanzania wanaosoma katika Jamhuri ya watu wa China (TASAFIC) Bw. Remidius Mwema Emmmanuel alikutana na kufanya mazungumzo na Naibu waziri wa Vijana, Kazi na Ajira Nchini Tanzania Mhe. Anthony Mavunde. 

 Mazungumzo hayo yaliyofanyika Ofisini kwake mjini Dodoma, pamoja na mambo mengine yalilenga ufahamu juu ya nafasi ya vijana wa kitanzania wanaohitimu masomo yao nje ya nchi hususani China namna ambavyo wanaweza kunufaika na kutumia vema fursa mbalimbali za kiuchumi kwa manufaa ya Taifa pindi wanaporejea nchini baada ya kuhitimu masomo yao. Hata hivyo Mhe.


Mavunde alipokea maelezo mafupi juu ya mkakati wa Shirikisho (TASAFIC) kwa Vijana wa Kitanzania pindi wanapohitimu wanavyoweza kuwa chachu ya mabadiliko na kuchangamkia fursa zilizopo nchini kwa kutumia Uzoefu na taaluma wanayoipata nje ya nchi. Kwa upande wake Mhe. Mavunde alipongeza juhudi kubwa zinazofanywa na TASAFIC na kuongeza kuwa Serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko tayari na inaendelea kuwaunga mkono Vijana wote wanaoonyesha uthubutu wa kujikwamua kiuchumi. 

Akizungumzia Upande wa kilimo, alisema baadhi ya Vijana wamekuwa na mitizamo ya kutojihusisha na Kilimo, Lakini hii inatokana na wengi wao kujaribu kilimo kwa kutozingatia kanuni na misingi bora ya Kilimo na kuona jambo hilo haliwezekani.

"Serikali sasa tuna mikakati ambayo tuna hakika itasaidia kuondoa dhana hizo na kuwafanya vijana wengi kupenda kilimo, ikiwa ni pamoja na Kutoa Elimu zaidi na kuwatumia vijana waliofanikiwa ili waweze kuaelimisha wenzao. Mfano tunao vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) wanaitwa SUGECO, Serikali iliwapatia udhamini wa fedha kupitia Benki ya CRDB, wakafanya kilimo na sasa wamekuwa ni taasisi kubwa na wameanza kusaidia vijana wenzao kupitia mafunzo na misaada mbalimbali.



Hivyo makala MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA

yaani makala yote MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/mavunde-akutana-na-kufanya-mazungumzo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAVUNDE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA WATANZANIA WANAOSOMA NCHINI CHINA"

Post a Comment

Loading...