Loading...

RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM

Loading...
RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM
link : RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM

soma pia


RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM

Na Agness Francis, Globu, ya jamii.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda  ameahidi kutoa  msaada  wa  Miguu ya bandia kwa walemavu wa miguu wasio na uwezo wa kununua Miguu hiyo.

Akizungumza  na Waandishi wa Habari leo  jijini Dar es Salaam, Makonda amesema kuwa anatoa fursa hiyo kwa walemavu  200 ambapo itakuwa ni awamu ya kwanza kuweza kufanikisha zoezi hilo.

Makonda amesema zoezi hilo litafanyika kwa  awamu kutokana na gharama. Amesema  gharama hizo ni changamoto kwa wananchi wake kwa walio makazini na hata wasio makazini na amewaomba watumie fursa hiyo kujitokeza katika zoezi hilo la upimaji  vipimo ili kufanikisha leongo

Amesema kuwa zoezi hilo  litafanyika kwa siku mbili kuanzia Agosti 14-15 mwaka huu katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa zilizopo Ilala Boma Jijini Dar Es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akionesha Miguu Bandia kwa Waandishi wa Habari wakati kaizungumza nao Ofisini kwake.


Hivyo makala RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM

yaani makala yote RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/rc-makonda-kutoa-msaada-wa-miguu-bandia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA KUTOA MSAADA WA MIGUU BANDIA KWA WANANCHI WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM"

Post a Comment

Loading...