Loading...

BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU.

Loading...
BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU.
link : BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU.

soma pia


BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU.

Mwambawahabari

Rais John Magufuli amemteua Profesa Ibrahim Juma kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania. 

Taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema uteuzi huo unaanza leo Jumapili. 

Kabla ya uteuzi huo, Profesa Juma alikuwa akikaimu nafasi hiyo tangu Januari alipostaafu Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman. 

Ikulu imesema Jaji Mkuu ataapishwa kesho Jumatatu saa nne asubuhi, Ikulu jijini Dar es Salaam. 

Rais Magufuli Januari 17 alimteua Profesa Juma kuwa Kaimu Jaji Mkuu. 

Kabla ya kuteuliwa katika nafasi hiyo, Profesa Juma alikuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa. 

Jaji Mkuu mstaafu Chande hadi kufikia Januari Mosi alikuwa ameshafikisha miaka 65 ambayo ni ya kustaafu majaji wa Mahakama ya Rufani kama ilivyobainishwa katika Ibara ya 120 ya Katiba ya mwaka 1977. 

Jaji Chande aliteuliwa katika nafasi hiyo na Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2010 akichukua nafasi ya Jaji mstaafu Augustino Ramadhani.


Hivyo makala BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU.

yaani makala yote BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/breaking-news-rais-magufuli-amteua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BREAKING : NEWS RAIS MAGUFULI AMTEUA PROFESA IBRAHIM JUMA KUWA JAJI MKUU."

Post a Comment

Loading...