Loading...

DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA

Loading...
DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA
link : DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA

soma pia


DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefunga mafunzo ya Jeshi la Akiba “Mgambo” wilaya ya Shinyanga ambapo jumla ya wahitimu 238 wamefuzu mafunzo hayo yaliyodumu kwa muda wa miezi minne.

Sherehe za kufunga mafunzo hayo zimefanyika leo Jumatatu Oktoba 9,2017 katika viwanja vya Sabasaba mjini Shinyanga.Akizungumza katika sherehe hizo,Mkuu huyo wa wilaya aliwataka wahitimu wa mafunzo hayo kutumia vyema mafunzo waliyoyapata huku akiwaasa kufanya shughuli za maendeleo ili kujiinua kiuchumi.

Matiro aliwataka wahitimu hao kuunda vikundi vya ujasiriamali ili serikali iweze kuwasaidia. “Mmejifunza mambo mengi,naomba muzingatie mlichojifunza,muwe wazalendo wa nchi yetu,kuweni mstari wa mbele kushirikiana na viongozi wa serikali za mitaa kuwafichua wahalifu na wale wote wanaoleta uvunjifu wa amani katika jamii”,aliongeza Matiro.
Katika hatua nyingine alizitaka kampuni za ulinzi kutumia walinzi waliopitia mafunzo ya mgambo.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akikagua gwaride

Wahitimu wa mafunzo hayo wakisubiri kukaguliwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro
Wahitimu wa mafunzo hayo wakisubiri kukaguliwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro
Wahitimu wa mafunzo hayo wakisubiri kukaguliwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro
Meza kuwa wakiwa wamesimama wakati wahitimu wakipita kwa mwendo wa polepole

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA

yaani makala yote DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/dc-shinyanga-afunga-mafunzo-ya-jeshi-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC SHINYANGA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA 'MGAMBO' WILAYA YA SHINYANGA"

Post a Comment

Loading...