Loading...

PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0.

Loading...
PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0.
link : PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0.

soma pia


PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0.

Kikosi cha Timu ya PBZ Zanzibar kilichotowa upinzani wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la PBZ Mkombozi Cup 2017 mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar, Michuano hiyo imeandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd. na kushirikisha Timu 14 za Mashirika na Serikali kuunda udugu katika Sekta ya Michezo Zanzibar kupitia Taasisi zao .
Michuano hiyo itakuwa endelevu kila mwaka.
Kikosi cha Timu ya PBZ wakiwa na Viongozi wao baada ya kukabidhiwa Kombe la Mshindi wa Pili wa Michuano ya PBZ Mkombozi Cup 2017. mchezo huo umefanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. 

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni nas Michezo Omar Hassan King akisalimiana na wachezaji wa Timu ya PBZ kabla ya kuaza kwa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la PBZ Mkombozi CUP 2017.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni nas Michezo Omar Hassan King akisalimiana na wachezaji wa Timu ya FFU kabla ya kuaza kwa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la FFU Mkombozi CUP 2017.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Omar Hassan King akisalimiana na Waamuzi wa Mchezo huo wa Fainali ya PBZ Mkombozi Cup 2017. akimsalimia muamuzi wa mchezo huo Abubakar Khatib ameweza kuumudu mchezo huo kwa uchezeshaji wake bila ya upendeleo kwa upande wowote wakati wa mchezo huo.Wakwanza Rashid Ramadhani, Suleiman Zuhuri,Abubakary Khatib na Hija Haji. 

Kikosi cha Timu ya FFU kilichotowa Ubingwa wa Michuano ya PBZ Mkombozi Cup 2017 kwa kuifunga Timu ya PBZ muandalizi wa michuano hiyo.


Hivyo makala PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0.

yaani makala yote PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/pbz-yaibuka-mshindi-wa-pili-pbz.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "PBZ Yaibuka Mshindi wa Pili PBZ Mkombozi Cup 2017 Baada ya Kufungwa na Timu ya FFU. Kwa Bao 2--0."

Post a Comment

Loading...