Loading...
title : MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
link : MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kongamano la 8 la Mwaka la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi lililofanyika kwenye Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano Arusha (AICC). (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Sehemu ya Wahudhuriaji wa Kongamano la 8 la Mwaka la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Ufunguzi wa Kongamano hilo lililofanyika kwenye kituo cha mikutano cha Kimataifa Arusha. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya awali ya Heaven Moshono Arusha pamoja na walimu wao ambao walikuwa uwanja wa ndege wa Arusha wakati Makamu wa Rais anaondoka Arusha mara baada ya kufungua wa Kongamano la 8 la Mwaka la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi lililofanyika kwenye Kituo cha Kimataifa Cha Mikutano Arusha (AICC). (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/makamu-wa-rais-azindua-kongamano-la-8.html
0 Response to "MAKAMU WA RAIS AZINDUA KONGAMANO LA 8 LA MWAKA LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI"
Post a Comment