Loading...

DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU

Loading...
DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU
link : DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU

soma pia


DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU

Waziri


wa mambo ya ndani nchini,Dkt Mwigulu Nchemba leo ameongoza oparesheni 
ya kuteketeza jumla ya ekari sita za bangi zilizokuwa zimelimwa 

katikati ya msitu ndani ya kijiji cha Engalaoni wilayani Arumeru mkoani 

Arusha.

Mwigulu akishirikiana na kamanda wa jeshi la polisi 
mkoani Arusha,(RPC)Charles Mkumbo pamoja na vikosi vya askari wa jeshi 
la polisi mkoani hapa walilazimika kuacha magari yao njiani na kutembea 
umbali wa kilomita 5 milimani kufika katikati ya msitu huo ambapo 
wamiliki wa mashamba hayo walitokomea kusikojulikana.

Akizungumza
na waandishi wa habari wakati wa zoezi hilo Mwigulu alisema kwamba 
serikali itaendelea na oparesheni pande zote za nchi na haitasita 
kuwakamata wahusika wote na kutaifisha magari yatakayotumika kusafirisha
bangi.

Akizungumza na askari waliokuwa wakishiriki katika zoezi 
hilo Mwigulu mbali na kuwapongeza kwa kazi wanayofanya lakini aliwambia 
kwamba pamoja na kufanikiwa kuteketeza madawa ya kulevya yanayolimwa 
mashambani lakini waongeze juhudi pia katika kupambana na madawa ya 
kulevya yanayotengenezwa viwandani.

Waziri wa mambo ya ndani nchini,Dkt Mwigulu Nchemba leo ameongoza 
oparesheni ya kuteketeza jumla ya ekari sita za bangi zilizokuwa 
zimelimwa katikati ya msitu ndani ya kijiji cha Engalaoni wilayani 
Arumeru mkoani Arusha. 


Waziri wa mambo ya ndani nchini,Dkt Mwigulu Nchemba leo ameongoza 
oparesheni ya kuteketeza jumla ya ekari sita za bangi zilizokuwa 
zimelimwa katikati ya msitu ndani ya kijiji cha Engalaoni wilayani 
Arumeru mkoani Arusha.


Hivyo makala DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU

yaani makala yote DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/dkt-mwigulu-aongoza-oparesheni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DKT. MWIGULU AONGOZA OPARESHENI KUTEKETEZA EKARI SITA ZA BANGI, ARUMERU"

Post a Comment

Loading...