Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibikalink :
Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika
Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika
Kumetokezea maharibiko katika eneo la Mtopepo bomba la gravity kutoka chemchem . Maharibiko hayo yamesababisha ukosefu wa huduma ya maji katika maeneo ya Mji Mkongwe Wilaya Mjini Mkoa Mjini Magharibi Unguja.
Mamlaka ya Maji Zanzibar tayari imeshachukua hatua ikiwemo kukagua athari na kesho asubuhi mafundi wataenda kufanyakazi ili kufanikisha huduma ya maji kurejea kwa wananchi wa maeneo ya Mji Mkongwe.
Aidha, Mamlaka ya Maji Zanzibar itatoa taarifa kamili kwa wananchi juubya kilichotokea na athari zilizotokea.
Wananchi tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza na jitihada zinachukuliwa kurekebisha maharibiko yaliyotokea.
Hivyo makala Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika
yaani makala yote Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/bomba-la-maji-kutoka-chemchem-ya.html
Related Posts :
YALIYOJIRI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI I9 MWAKA HUU.… Read More...
MKANDARASI WA BARABARA ACHUNGUZWA.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe ameiagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Njombe, kumchunguza mkan… Read More...
MAELFU WAFURIKA KATIKA TAMASHA LA KOMAA CONCERT NA EFM JIJINI DAR
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na Wakazi wa Dar es Salaam juu ya umuhimu wa kutunza amani tuliyonayo na umoj… Read More...
Bonanza la mpira wa miguu kwa timu za wasichana shule za sekondari na msingi manispaa ya Kigoma ujiji lafana sana
Bonanza mpira wa miguu kwa timu za wasichana kwa shule za sekondari na msingi limefanyika jana katika manispaa ya Kigoma ujiji, Mkoani Kigo… Read More...
MADENI YA WALIMU BILIONI I.5 YAWASILISHWA TAMISEMI
Mkoa wa Rukwa umewasilisha Ofi si ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Sh 1,547,461,590 ikiwa ni madeni ya walimu wa shule… Read More...
0 Response to "Bomba la maji kutoka Chemchem ya Mtopepo laharibika"
Post a Comment