Loading...

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA

Loading...
MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA
link : MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA

soma pia


MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwanamuziki Mkongwe Mzee Makassy  na wasanii wenzake katika Viwanja vya Bunge , Juni 25/2018 .Kulia ni Mbunge wa Viti maalumu Martha Mlata
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimia na mwanamuziki, Kikumbi Mwanza Mpango (King Kiki)  na wasanii wenzake  katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma  Juni 25/2018. Katikati ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba, kushoto mwenye kofia nyekundu ni Mzee Makassy na Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Martha Mlata .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Wanamuziki wakongwe kwenye Viwanja vya Bunge leo jijini Dodoma
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba bungeni jijini Dodoma leo Juni 25/2018
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU


Hivyo makala MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA

yaani makala yote MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/matukio-mbalimbali-ya-waziri-mkuu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BENGENI JIJINI DODOMA"

Post a Comment

Loading...