Loading...

TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI

Loading...
TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI
link : TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI

soma pia


TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI

TIMU ya TOC FC juzi walitawazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi ya wilaya ya Pangani maarufu kama Aweso Cup baada ya kuifunga Ushirika FC mabao 4-3 kwenye mchezo wa fainali uliochezwa kwenye viwanja vya Kumba wilayani Pangani.

TOC ambao ni mabingwa walikabidhiwa kombe la Ubingwa,Medali na kitita cha sh.milioni 1 kutoka kwa mdhamini wa mashindano hayo Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo hilo (CCM).

Huku mshindi wa pili timu ya Ushirika FC walikabidhiwa kitita cha laki sita na medali wakati mshindi wa tatu akipata laki nne na medali kwenye tukio ambalo lilihudhuriwa na wageni mbalimbali akiwemo Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama na Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Issa.

Katika mchezo ambao ulikuwa mkali na wenye upinzani mkubwa kutokana na timu zote kushindwa kutambiana ndani ya dakika tisini na hivyo kuamuliwa kwa mikwaju ya penati ndipo TOC walipofanikiwa kuibuka videdea.
 NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso kulia akimkabidhi kombe la Ubingwa wa Ligi ya wilaya ya Pangani maarufu kama Aweso Cup nahodha wa timu ya  TOC Bato Diasi  kushoto ni Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama  aliyevaa koti jeupe
 Nahodha wa timu ya  TOC Bato Diasi akiwa amelishikilia kombe lao kulia ni NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso
 NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso kushoto akimvalisha medali mchezaji wa timu ya Ushirika FC ambao walishika nafasi ya pili kwenye mashindano ya Kombe la Aweso Cup kushoto ni Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama
 Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama kushoto akimkabidhi  sh.50000 Twaha Bungala ambaye ni mfungaji bora kwenye mashindano hayo
 NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso katikati akimkabidhi kitita cha sh.milioni 1 nahodha wa timu ya TOC Bato Diasi juzi ambao niMabingwa wa Ligi ya wilaya hiyo maarufu kama Aweso Cup  iliyodhaminiwa na Mbunge huyo



Hivyo makala TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI

yaani makala yote TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/toc-fc-mabingwa-wapya-ligi-ya-aweso-cup.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TOC FC MABINGWA WAPYA LIGI YA AWESO CUP 2018 PANGANI"

Post a Comment

Loading...