TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAMlink :
TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM
TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM
MWAMBA WA HABARI
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM
Tuzo za Simba Mo Awards zinatarajia kufanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.
Tuzo hizo zitakuwa maalum kwa watu wa klabu hiyo waliofanikisha Simba kufanya vizuri kwa msimu wa 2017/18.
Wanachama, viongozi, mashabiki na matawi ya klabu hiyo yatahusishwa katika ugawajwi wa tuzo hizo zitazofanyika leo kuanzia saa 12 kamili jioni.
Lengo mahususi la kuanzisha tuzo hizo ni kutambua mchango wa waliofanikisha Simba kufikia hapo ilipo.
Baadhi ya vipengele ambavyo vitakuwepo katika ugawajwi wa tuzo hizo ni mchezaji bora wa mwaka, kiungo, mshambuliaji, shabiki na zinginezo.
Hivyo makala TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/tuzo-za-mo-kufanyika-leo-jioni-jijini.html
Related Posts :
IGP AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUENDELEZA DORIA ZA KIROHONa Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewaomba Viongozi wa dini nchini kuendelea kufanya doria za kiroho huku… Read More...
WAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCT JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dkt. Fredri… Read More...
VIONGOZI WANAWAKE DAR WAPEWA SOMO UTOAJI TAARIFA UKIUKWAJI MAADILI.
NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM.
Madiwani na wakuu wa idara wanawake kutoka Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kuwa na uja… Read More...
WASHINDI WA AMSHA AMSHA USHINDE NA AIRTEL MONEY DROO YA TATU WAPATIKANAMkazi wa Morogoro, Frank Kisayo ameshinda zawadi ya televisheni ya kisasa aina ya Samsung yenye ukubwa wa inchi 32 kupitia promosheni ya Ams… Read More...
SERIKALI KUFUTA TOZO YA USAJILI,KUHUWISHA NA KUSHIKILIA USAJILI KWA WAWEKEZAJI WA NDANI
NA WAMJW-MWANZA
SERIKALI kupitia wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imefuta tozo ya usajili , kuhuwisha pamoja na … Read More...
0 Response to "TUZO ZA MO KUFANYIKA LEO JIONI JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment