Loading...

MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA.

Loading...
MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA.
link : MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA.

soma pia


MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA.




Mwamba wa habari
Mwenge wa uhuru umepokelewa  katika mkoa wa Dar es salaam na kukabidiwa wilayani Ilala ambapo  umezindua miradi  sita ya maendeleo yenye tamani ya zaid ishilingi Bilion , 4323,457569.20.

Moja ya miradiiliyo iliyozinduliwa  na kuwekewa jiwe la msingi ni pamojana,mirad ya elimu na Afya ,miradi hiyo ni  pamoja na ujenzi wa Choo cha mtoto wa Kike  uliopo shule ya Msingi Ilala, ujenzi wa mradi wa jengo la DMDP,ujenzi  wa madarasa na ofisi za walimu katika   shule ya msingi Zingiziwa Chanika Dar es Salaam,Hospital ya  Miracolo kata ya segerea na ujenzi wa Mbweni ya wanafunzi shule ya secondary Mbondole.

. Akizungumza katika moja ya ya miradi  hiyo  kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Charles  Kabeho  amesema pamoja na serikali ya awamu ya tano kutoa elimu bure  amewataka wazazi na walezi  kuwapatia mahitaji ya shule watoto wao ikiwemo Daftari  na sale za shule.

Aidha katika miradi ya watu binafsi  iliyozinduliwa ni pamoja na Hospitali ya Miracolo iliyopo Kata ya Segerea ambapo imeombo kibalikwa serikali kuwa inanunua dawa kutoka bohari ya taifa ambapo  Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema ame ameutaka uongozi wa hospitali hiyo mkupeleka maombi yao serikalini  iliyaweze kufanyiwa kazi.  

Aidha kiongozi wa mbiyo za mwenge amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuwa makini kwa kulinda afya zao na  kujikinga na maambkizi ya UKIMWI,kwa mujibu wa taarifa iliyo tolewa na Katibu tawala wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo hali ya maambukizi ya ugonjwa huo bado sinzuri ina takwimu zina onesha kuwa asilimia 2.3 ya watu 516493,  waliopima waligundulika kuwa na VVU mwaka 2017 na 2018.

Pamoja hayo kiongozi huyo amewapongeza watumishi wanawake wa Manispaa ya Ilala walijitolea kwa michango yao kujenga choo cha mtoto  wakike  acho kitasaidia wasichana kutoacha masoma wanapo kuwa Hedhi  ambapo kwa mujibu wa Afisa Elimu msingi  Elizabeth Thomas  cho hicho kimegharimu jumla ya shilingi  million 24560,  Mwenge wa uhuru leo unakabidhiwa leo asubuhi  katika  Wilaya ya kigamboni.


Hivyo makala MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA.

yaani makala yote MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/mwenge-wa-uhuruwazindua-miradi-yenye.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MWENGE WA UHURUWAZINDUA MIRADI YENYE TAHAMANI YA ZAIDI YA BILION NNE WILAYANI ILALA."

Post a Comment

Loading...